Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Soma Biblia Kila Siku 07/2024Mfano

Soma Biblia Kila Siku 07/2024

SIKU 6 YA 31

Tangu vipindi vya waamuzi hadi wafalme na manabii matukio makubwa ya kutisha yaliendelea kufanyika kupitia watu waliomwamini Mungu na kuyafuata maneno yake. Pamoja na uweza wa Mungu kudhihirika katika utendaji kwa njia ya imani yao, baadhi yao waliteseka na hata kuuawa kwa sababu ya imani hiyo. “Hawakuipokea ahadi” (m.39), yaani waliiamini ahadi ya Mungu, lakini hawakuona utimilifu wake. Sababu ni mbili: 1) Aliyeitimiza ni Yesu Kristo. 2) Mungu alitaka kwamba hata sisi tupateufufuo ulio bora(m.35).

siku 5siku 7

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 07/2024

Soma Biblia Kila Siku 07/2024 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa saba pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha Waebrania na Mathayo. Karibu kujiunga na mpango huu

More

Tungependa kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: https://www.somabiblia.or.tz