Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Soma Biblia Kila Siku 07/2024Mfano

Soma Biblia Kila Siku 07/2024

SIKU 10 YA 31

Kukutana na Mungu kama Waisraeli walivyofanya kwenye Mlima Sinai ni jambo la kutisha. Lakini sisi tumepewa kukutana naye kwenye Golgotha na kuja mbele yake kabisa katika makao yake ya mbinguni (m.22). Tunaweza kuingia kwa ujasiri, kwa sababu Yesu ametupatia agano jipya na Mungu, ambalo msingi wake ni kifo cha Yesu. Wakati damu ya Habili inamlilia Mungu kuhusu ulipizaji wa kisasi, damu ya Yesu inatusafisha dhambi zetu zote na kutuunganisha katika familia kubwa ya Mungu ya waliozaliwa upya.

siku 9siku 11

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 07/2024

Soma Biblia Kila Siku 07/2024 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa saba pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha Waebrania na Mathayo. Karibu kujiunga na mpango huu

More

Tungependa kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: https://www.somabiblia.or.tz