Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Soma Biblia Kila Siku 07/2024Mfano

Soma Biblia Kila Siku 07/2024

SIKU 11 YA 31

Tangu zamani Mungu alisema na watu kupitia watumishi wake, lakini walipotea kwa sababu hawakusikiliza. Nyakati hizi anasema nasi kwa Mwanawe ambaye ni Neno lake kutoka mbinguni. Neno hili lina uzito zaidi, maana litatetemesha hata mbingu. Maana yake, licha ya sisi kupotea kama hao ikiwa tunakataa kumsikiliza Yesu, Mungu atahukumu viumbe vyote kwa Yeye. Kisha ataleta ufalme wake wa mbinguni udumuo milele. Tumshukuru na kumwabudu Mungu kwamba wote wanaomwamini Yesu ni raia wa ufalme huo.

siku 10siku 12

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 07/2024

Soma Biblia Kila Siku 07/2024 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa saba pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha Waebrania na Mathayo. Karibu kujiunga na mpango huu

More

Tungependa kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: https://www.somabiblia.or.tz