Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Soma Biblia Kila Siku 07/2024Mfano

Soma Biblia Kila Siku 07/2024

SIKU 4 YA 31

Baraka ni kitendo kinachoambatana na imani katika Mungu anayetoa baraka. Isaka, Yakobo na Yusufu waliwabariki watoto wao wakiamini kwamba Mungu atazitokeza hizi baraka kwa uhalisia katika maisha yao. Sisi tunapowabariki wenzetu, tuwasaidie pia kumtegemea Mungu kwamba yeye ndiye atendaye. Tujifunze kwa Musa. Aliamua kumwamini na kumtegemea Mungu katika mambo yote. Wewe ukifanya vivyo hivyo, unampa Mungu nafasi ya kutembea na wewe na kufanikisha baraka zake kwa njia ya maisha yako.

siku 3siku 5

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 07/2024

Soma Biblia Kila Siku 07/2024 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa saba pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha Waebrania na Mathayo. Karibu kujiunga na mpango huu

More

Tungependa kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: https://www.somabiblia.or.tz