YouVersion Logo
Search Icon

Soma Biblia Kila Siku/ Aprili 2023Sample

Soma Biblia Kila Siku/ Aprili 2023

DAY 30 OF 30

Kabla Musa hajamkabili Farao tena ili kumpa nafasi ya mwisho ya kuwapa Waisraeli uhuru, Mungu anamkumbusha kwamba siyo Farao peke yake bali taifa lote la Misri ambalo liko katika hatari ya hukumu. Wamisri wote walikuwa wakaidi wakimpinga BWANA kwa kutegemea zaidi maadui wa BWANA, yaani miungu yao. Farao anapodai muujiza Mungu anampa, lakini Farao anaudharau kwa kuwaita wachawi wake wanaoweza kuiga ishara za Musa kwa kutumia akili zao. Hivyo moyo wa Farao unafanywa mgumu zaidi.

Day 29

About this Plan

Soma Biblia Kila Siku/ Aprili 2023

Soma Biblia Kila Siku/Aprili 2023 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Machi pamoja na maelezo machache ya kukusaidia kuelewa zaidi neno ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi katika kitabu cha Yohana, Mithali na Kutoka. Karibu kujiunga na mpango huu bure

More