YouVersion Logo
Search Icon

Soma Biblia Kila Siku/ Aprili 2023Sample

Soma Biblia Kila Siku/ Aprili 2023

DAY 28 OF 30

Musa alipomwendea Mungu, alitiwa moyo kwa kuthibitishiwa kuwa Bwana atatenda na kwamba Farao ataachia watu wake. Mimi ni YEHOVA, Mungu anamwambia Musa mara tatu. Somo la leo laonesha maana ya jina hilo. Mungu ni Mwokozi na Mkombozi, na wokovu wake utadhihirishwa kwa maana yake ya kutisha sana. Waebrania watatambua hali na maana iliyodokezwa katika jina hilo, kuwa Bwana ni Mungu wao, nao ni watu wake, naye atawapa nchi yao wenyewe, nchi ya ahadi, kwa kuwa ndiye Mungu mwaminifu wa agano.

Scripture

Day 27Day 29

About this Plan

Soma Biblia Kila Siku/ Aprili 2023

Soma Biblia Kila Siku/Aprili 2023 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Machi pamoja na maelezo machache ya kukusaidia kuelewa zaidi neno ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi katika kitabu cha Yohana, Mithali na Kutoka. Karibu kujiunga na mpango huu bure

More