YouVersion Logo
Search Icon

Soma Biblia Kila Siku/ Aprili 2023Sample

Soma Biblia Kila Siku/ Aprili 2023

DAY 29 OF 30

Musa anapowashirikisha Waebrania maneno ya Mungu, walishindwa kuamini. Changamoto za maisha zinaweza kuwa kikwazo cha kutuzuia kusikia Neno la Mungu. Lakini angalia kuwa Mungu haachi mpango wake wa kuwaokoa kwa sababu ya kutoamini kwao. Badala yake, anamwagiza Musa aendelee. Hivyo anamtia moyo na nguvu ili asiathirike na kukata tamaa. Orodha ya vichwa vya nyumba za Waisraeli itatufundisha kuwa mpango wa Mungu sio wa hivihivi tu wala hauwezi kufeli. Mungu anawajua watu wake anaotaka kuwaokoa.

Scripture

Day 28Day 30

About this Plan

Soma Biblia Kila Siku/ Aprili 2023

Soma Biblia Kila Siku/Aprili 2023 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Machi pamoja na maelezo machache ya kukusaidia kuelewa zaidi neno ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi katika kitabu cha Yohana, Mithali na Kutoka. Karibu kujiunga na mpango huu bure

More