YouVersion Logo
Search Icon

Soma Biblia Kila Siku/ Aprili 2023Sample

Soma Biblia Kila Siku/ Aprili 2023

DAY 27 OF 30

Sisi hutegemea matokeo mema tu tukimwamini Mungu, lakini si hivyo kila mara. Waebrania waliongezewa mateso kutokana na mkutano baina na Musa, Haruni na Farao na kusababisha wasimamizi wao wa kazi kuchukia. Musa alifadhaika juu ya hali hiyo, ila alitenda vema. Alimwambia Mungu alivyoona Mungu amewatenda mabaya kuliko mema. Hii inaonesha Musa alivyoona ugumu wa kumwelewa Mungu, lakini pia alivyotegemea jibu na msaada viko kwa Mungu tu. Tujifunze kwenda kwa Mungu daima hata kama kutakuwa na upinzani.

Day 26Day 28

About this Plan

Soma Biblia Kila Siku/ Aprili 2023

Soma Biblia Kila Siku/Aprili 2023 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Machi pamoja na maelezo machache ya kukusaidia kuelewa zaidi neno ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi katika kitabu cha Yohana, Mithali na Kutoka. Karibu kujiunga na mpango huu bure

More