Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Soma Biblia Kila Siku 07/2024Mfano

Soma Biblia Kila Siku 07/2024

SIKU 29 YA 31

Petro alikuwa amefunuliwa na Mungu kwamba Yesu ni Kristo. Yaani Yesu ni huyu Mwokozi ambaye Wayahudi walimtazamia kwa hamu sana kutokana na ahadi za Mungu kwa manabii. Ndipo Yesu alianza kuwafundisha wanafunzi wake namna Kristo alivyo. Maneno ya Petro kwa Yesu yanaonyesha kwamba walihitaji sana mafundisho haya, maana wao walifikiri kwamba ahadi za Mungu kuhusu Kristo kuwa mtawala mkuu wa dunia hii zitatimizwa mara moja. La sivyo. Kwanza itabidi apitie mambo magumu, na si yeye tu, hata wanafunzi!

siku 28siku 30

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 07/2024

Soma Biblia Kila Siku 07/2024 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa saba pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha Waebrania na Mathayo. Karibu kujiunga na mpango huu

More

Tungependa kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: https://www.somabiblia.or.tz