Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Soma Biblia Kila Siku 05/2024Mfano

Soma Biblia Kila Siku 05/2024

SIKU 30 YA 31

Watu wa agano la Mungu watakiwa kufanya kile anachokiagiza. Kwa hiyo Musa anaagizwa kuziandika amri zote za Mungu. Kuna utaratibu wa sikukuu na ibada wanaopaswa kuufuata ambao utadumisha uhusiano wao wema na wa karibu na Mungu. Amri ya kupumzika inafuatana na kuabudu na kumpa Mungu nafsi, mali na maisha. Musa alisimama katikati ya Mungu na Israeli. Wakati huu wa sasa Yesu ndiye mpatanishi huyo kati ya Mungu na watu wake. Yesu mwenyewe ndiye pumziko la kweli na linalodumu milele.

siku 29siku 31

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 05/2024

Soma Biblia Kila Siku 05/2024 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa tano pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha Kutoka, Yoeli na Mathayo. Karibu kujiunga na mpango huu

More

Tungependa kuwashukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: https://www.somabiblia.or.tz/

Mipango inayo husiana