Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Soma Biblia Kila Siku 05/2024Mfano

Soma Biblia Kila Siku 05/2024

SIKU 29 YA 31

Mungu anafanya upya agano lake na Waisraeli na kusema atawapigania ili waweze kumiliki nchi ile aliyowaahidi. Kuna wajibu pamoja na kupokea neema hiyo: Waisraeli wasiungane na wapagani wanaoishi hapo nchini wala kushiriki katika ibada zao za miungu. Sikukuu ya mikate isiyotiwa chachu iwakumbushe wamekombolewa kutoka utumwani Misri na kuwa watu wa Mungu, basi wasikengeuke na kurudia maisha ya zamani. Tukimwamini Kristo, ni wenyeji wa mbinguni. Hivyo, usifuate mambo ya wenyeji wa ulimwengu huu.

siku 28siku 30

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 05/2024

Soma Biblia Kila Siku 05/2024 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa tano pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha Kutoka, Yoeli na Mathayo. Karibu kujiunga na mpango huu

More

Tungependa kuwashukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: https://www.somabiblia.or.tz/

Mipango inayo husiana