Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Soma Biblia Kila Siku 03/2025Mfano

Soma Biblia Kila Siku 03/2025

SIKU 26 YA 31

Itikio la Daudi juu ya unabii uliotolewa na Nathani linaonesha unyenyekevu wa Daudi na imani yake kwa Mungu. Jibu lake liko katika sehemu mbili: Shukrani na maombi. Shukrani kwa yale ambayo Mungu amemtendea na atakayomtendea yeye na nyumba yake. Maombi yake ni litimie neno la Mungu lililonenwa. Mpendwa, kwanza tuwe niwapokeajitukimshukuru Mungu kwa yale aliyotutendea na kuendelea kututendea. Kisha tuwewatendajitukikubali kama Daudi lile ambalo Mungu anatutaka tulitende.

siku 25siku 27

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 03/2025

Soma Biblia Kila Siku 03/2025 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi Machi pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha Marko, 1 Nyakati na Isaya. Karibu kujiunga na mpango huu

More

Tungependa kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: www.somabiblia.or.tz