Soma Biblia Kila Siku 01/2025Mfano
![Soma Biblia Kila Siku 01/2025](/_next/image?url=https%3A%2F%2Fimageproxy.youversionapi.com%2Fhttps%3A%2F%2Fs3.amazonaws.com%2Fyvplans%2F54349%2F1280x720.jpg&w=3840&q=75)
Nabii Yeremia alikuwa ametabiri kuwa Waisraeli watakuwa uhamishoni Babeli kwa muda wa miaka sabini. Koreshi, mfalme wa Uajemi, anapotoa amri kwa Waisraeli kurudi kwao, ni Mungu mwenyewe anayeiamsha roho yake kutoa hiyo amri. Koreshi anawatangazia Waisraeli baraka alizopata kutoka kwa Mungu, na pia kwamba ataka wamjengee nyumba katika Yerusalemu. Mara tu baada ya kutoka kwa amri hiyo, maandalizi yanaanza kwa ajili ya utekelezaji. Je, wamkiri Bwana kuwa ndiye akuwezeshaye katika mafanikio yako?
Andiko
Kuhusu Mpango huu
![Soma Biblia Kila Siku 01/2025](/_next/image?url=https%3A%2F%2Fimageproxy.youversionapi.com%2Fhttps%3A%2F%2Fs3.amazonaws.com%2Fyvplans%2F54349%2F1280x720.jpg&w=3840&q=75)
Soma Biblia Kila Siku 01/2025 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi Januari pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha Marko na Ezra. Karibu kujiunga na mpango huu
More
Tungependa kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: somabiblia.or.tz