Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Soma Biblia Kila Siku 09/2024Mfano

Soma Biblia Kila Siku 09/2024

SIKU 30 YA 30

Maisha baada ya kufa ni tofauti kwa wacha Mungu na wanaomdharau Mungu. Mungu hachukii utajiri, lakini kutegemea mali badala ya Mungu ni namna mojawapo ya kumdharau Mungu. Wote wanaofanya hivyo watapata hasara ya maisha baada ya kufa, wakati wote wamchao Mungu wataokolewa na kuongozwa naye. Basi, ni vizuri tujiulize moyo wetu uko wapi. Je, unategemea mali au Mungu? Mtu yeyote ambaye hamchi na kumtegemea Mungu bali akili na mali zake tu, huyo amepotea! Mali na akili zake haziwezi kumwokoa.

siku 29

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 09/2024

Soma Biblia Kila Siku 09/2024 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Tisa pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha Mathayo na 2 Wafalme. Karibu kujiunga na mpango huu

More

Tungependa kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: https://www.somabiblia.or.tz

Mipangilio yanayo husiana