Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Soma Biblia Kila Siku 06/2024Mfano

Soma Biblia Kila Siku 06/2024

SIKU 10 YA 30

Utakuja wakati ambapo watu watayakataa mafundisho ya Neno la Mungu yenye uzima na badala yake kupenda mafundisho ya uongo. Kwa hiyo Paulo anamwagiza Timotheo mbele ya Mungu kufanya kazi ya mhubiri wa Injili. Je, hali ikoje wakati wetu? Neno la Mungu linahubiriwa ipasavyo na watu wote wanapenda mafundisho yake ya kweli? Bila shaka hali ni tofauti. Kama Timotheo, sisi pia tunaagizwa kutahadhari. Tudumu katika imani na kuwa na kiasi na uvumilivu tukihubiri Injilikwa uhodari wote. Bwana yu karibu!

siku 9siku 11

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 06/2024

Soma Biblia Kila Siku 06/2024 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa sita pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha 2 Timotheo na 2 Wafalme. Karibu kujiunga na mpango huu

More

Tungependa kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: https://www.somabiblia.or.tz