Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Maelezo ya mpango

Soma Biblia Kila Siku / Oktoba 2023Mfano

Soma Biblia Kila Siku / Oktoba 2023

SIKU 19 YA 31

Nyakati fulanifulani, kwa upendo Mungu humwadhibu mkosaji ili azinduke. Wale ambao hawaamini, wanahukumiwa na Mungu. Lakini wale wanaompenda Mungu, wanajaliwa kumrudia. Hata kama mtu akikosa uthabiti katika kutii mara baada ya kutubu, rehema za Mungu hazikomi. Maana Mungu anamjua mwanadamu kuwa ni mavumbi na mdhaifu katika kumpenda na kumtii Mungu. Kwa hiyo Mungu yu tayari kumsamehe. Basi tusikate tamaa hata kama tumeanguka. Tusimame tukiomba rehema. Mungu atatupa tukiomba na kuamini.

siku 18siku 20

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku / Oktoba 2023

Soma Biblia Kila Siku /Oktoba 2023 ni mpango mzuri wa kusoma biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Oktoba pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu...

More

Tungependa kuwashukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: https://www.somabiblia.or.tz/

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha