Maelezo ya mpango
Soma Biblia Kila Siku / Oktoba 2023Mfano
![Soma Biblia Kila Siku / Oktoba 2023](/_next/image?url=https%3A%2F%2Fimageproxy.youversionapi.com%2Fhttps%3A%2F%2Fs3.amazonaws.com%2Fyvplans%2F40189%2F1280x720.jpg&w=3840&q=75)
Nyakati fulanifulani, kwa upendo Mungu humwadhibu mkosaji ili azinduke. Wale ambao hawaamini, wanahukumiwa na Mungu. Lakini wale wanaompenda Mungu, wanajaliwa kumrudia. Hata kama mtu akikosa uthabiti katika kutii mara baada ya kutubu, rehema za Mungu hazikomi. Maana Mungu anamjua mwanadamu kuwa ni mavumbi na mdhaifu katika kumpenda na kumtii Mungu. Kwa hiyo Mungu yu tayari kumsamehe. Basi tusikate tamaa hata kama tumeanguka. Tusimame tukiomba rehema. Mungu atatupa tukiomba na kuamini.
Andiko
Kuhusu Mpango huu
![Soma Biblia Kila Siku / Oktoba 2023](/_next/image?url=https%3A%2F%2Fimageproxy.youversionapi.com%2Fhttps%3A%2F%2Fs3.amazonaws.com%2Fyvplans%2F40189%2F1280x720.jpg&w=3840&q=75)
Soma Biblia Kila Siku /Oktoba 2023 ni mpango mzuri wa kusoma biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Oktoba pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu...
More
Tungependa kuwashukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: https://www.somabiblia.or.tz/