Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Soma Biblia Kila Siku / Oktoba 2023Mfano

Soma Biblia Kila Siku / Oktoba 2023

SIKU 13 YA 31

Kazi ya Mungu ya uumbaji haikwisha na kwamba sasa Mungu anastarehe tu, la hasha. Anaendelea kuiangalia na kuifutilia. Mungu katika ujuzi wake anatambua ubatili wa matendo yetu ambamo mara nyingi tunaweka matumaini yetu. Zaburi hii inafaa kuwa sala kanisani siku hizi na hasa barani Afrika ambapo wengi wamepata picha kwamba Mungu ameacha kudhibiti sehemu hii ya uumbaji wake. Jibu ni hapana. Mungu bado yupo kwenye udhibiti na mpango kwa ajili ya watu wake wa ulimwenguni mwote. Tumtegemee.

siku 12siku 14

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku / Oktoba 2023

Soma Biblia Kila Siku /Oktoba 2023 ni mpango mzuri wa kusoma biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Oktoba pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha Yohana na Zaburi. Karibu kujiunga na mpango huu

More

Tungependa kuwashukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: https://www.somabiblia.or.tz/