Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Maelezo ya mpango

Soma Biblia Kila Siku/ FEBRUARI 2023Mfano

Soma Biblia Kila Siku/ FEBRUARI 2023

SIKU 28 YA 28

Israeli na Yuda walipigwa na mataifa adui kwa sababu ya dhambi yao. Lakini kumbe, hata hao maadui watahukumiwa na Mungu, ijapokuwa aliwatumia kuwa fimbo kwa taifa lake. Tunaonywa tusikose unyenyekevu na huruma, maana kama ulivyotenda, ndivyo utakavyotendwa (m.15). Tukijitukuza, Mungu atatudhili kwa aibu na kilio. Lakini tukimtegemea, Mungu atatuokoa. Kwa ufahamu zaidi linganisha m.17 unaosema, Katika mlima Sayuni watakuwako wenye kuokoka, nao utakuwa mtakatifu; na nyumba ya Yakobo watamiliki milki zao. Maana haikosi siku ya Bwana itakuja, na hapo itaonekana kwamba ufalme pamoja na nguvu na utukufu ni wa Bwana, hata milele. Amina!

siku 27

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku/ FEBRUARI 2023

Soma Biblia Kila Siku/Februari 2023 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Februari pamoja na maelezo machache ya kukusaidia kuelewa zaidi neno ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaid...

More

Tungependa kuwashukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: https://www.somabiblia.or.tz/

Mipangilio yanayo husiana

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha