Maelezo ya mpango
Soma Biblia Kila Siku/ FEBRUARI 2023Mfano
![Soma Biblia Kila Siku/ FEBRUARI 2023](/_next/image?url=https%3A%2F%2Fimageproxy.youversionapi.com%2Fhttps%3A%2F%2Fs3.amazonaws.com%2Fyvplans%2F35517%2F1280x720.jpg&w=3840&q=75)
Pauloni mtumwa wa Kristo Yesu (m.1), yaani amejiweka chini ya mapenzi ya Yesu Kristo kwa kila jambo la maisha yake! Je, wewe umefanya hivyo? Hii ni barua ya msingi kutoka kwa mtume Paulo. Humo amepanga kwa utaratibu mafundisho ya msingi juu ya imani ya Kikristo. Ina sehemu kuu mbili: 1. Imani ya Mkristo (1:18-11:36). 2. Matendo ya Mkristo (12:1-15:33). Paulo anahubiri Injili ya Mungu (m.1), ambayo ni habari njema inayomhusu Yesu Kristo, Mwana wa Mungu. Kristo ametajwa mara 7 katika somo la leo!
Andiko
Kuhusu Mpango huu
![Soma Biblia Kila Siku/ FEBRUARI 2023](/_next/image?url=https%3A%2F%2Fimageproxy.youversionapi.com%2Fhttps%3A%2F%2Fs3.amazonaws.com%2Fyvplans%2F35517%2F1280x720.jpg&w=3840&q=75)
Soma Biblia Kila Siku/Februari 2023 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Februari pamoja na maelezo machache ya kukusaidia kuelewa zaidi neno ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaid...
More
Tungependa kuwashukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: https://www.somabiblia.or.tz/