Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Soma Biblia Kila Siku/ FEBRUARI 2023Mfano

Soma Biblia Kila Siku/ FEBRUARI 2023

SIKU 22 YA 28

Mungu hapendi maisha yenye michanganyo. Hata tukifanya kwa kujificha, Mungu anatuona. Yeroboamu na mkewe walimwasi Mungu. Walipouguliwa hawakufikiria kutengeneza na Mungu ila wakataka Mungu awasaidie tu, lakini kwa njia za siri. Hii haikuwasaidia. Mara nyingine wapo Wakristo ambao wanaamua kuishi maisha yaliyo kinyume kabisa na Mungu, hata hivyo, wakipatwa na matatizo, wanataka huduma bila hata kutubu. Jihoji kama tabia hii inaweza kupatikana kwako pia.

siku 21siku 23

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku/ FEBRUARI 2023

Soma Biblia Kila Siku/Februari 2023 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Februari pamoja na maelezo machache ya kukusaidia kuelewa zaidi neno ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi katika kitabu cha Warumi na 1 Wafalme. Karibu kujiunga na mpango huu bure

More

Tungependa kuwashukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: https://www.somabiblia.or.tz/