Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Maelezo ya mpango

Soma Biblia Kila Siku JANUARI/2023Mfano

Soma Biblia Kila Siku JANUARI/2023

SIKU 22 YA 31

Malaki alifanya kazi kipindi cha Nehemia. Wakati huu Waisraeli wachache walirudi Yerusalemu toka Babeli. Hawakupata mafanikio, bali waliona ugumu wa maisha na umasikini. Hapo ndipo walipomlalamikia Mungu kuwa hawapendi. Mungu anawahakikishia kuwa bado anawapenda. Jinsi alivyomteua Yakobo kuwa wake na kumwacha Esau ni uthibitisho wa kutosha! Lakini pamoja na kutopenda, Mungu anachukia uovu. Hivyo wenye dhambi wasipotubu, hawatafanikiwa kama Edomu walivyoshindwa kufanikiwa. Edomu asema, Tumepondwa-pondwa, lakini tutarudi na kupajenga mahali palipoachwa hali ya ukiwa. Lakini Bwana wa majeshi asema hivi, Wao watajenga, bali mimi nitaangusha ... (m.4).

Andiko

siku 21siku 23

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku JANUARI/2023

Soma Biblia Kila Siku Januari/2023 ni mpango wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu kila siku kwa mwezi wa Januari pamoja na maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa kwa urahisi na kuendelea kutafakari neno la Mungu ulilosoma...

More

Tungependa kuwashukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: https://www.somabiblia.or.tz/

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha