Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Soma Biblia Kila Siku 4Mfano

Soma Biblia Kila Siku 4

SIKU 22 YA 30

Yesu aliona uhaba wa imani kwetu (m.25). Katika kutusaidia sote, alichagua kuambatana na wale wawili waliokuwa wakienda Emau. Alithibitisha neno lile lisemalo walipo wawili au watatu kwa jina lake, yeye anakuwa pamoja nao. Lakini pia, alithibitisha kwao kwamba yote yaliyoandikwa juu yake ni kweli na yanatimia, pamoja na kufufuka kwake (m.26f). Tujifunze kwa wakina Kleopa: Yesu anapotujaza furaha ya kumtambua, tusiuzimishe moto ule uwakao ndani yetu; tuende kwa ujasiri kueleza wengine.

siku 21siku 23

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 4

Soma Biblia Kila Siku 4 inakupa mpango wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu, hasa kutoka Kitabu cha Kutoka, na 1 Wathesalonike, pamoja na maelezo juu ya somo hilo.

More

Tungependa kushukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz