Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Soma Biblia Kila Siku 4Mfano

Soma Biblia Kila Siku 4

SIKU 19 YA 30

Somo hili linatupa picha ya safari ya Yesu kuelekea msalabani. Yale maumivu yote aliyoyapitia hapo (m.3-9) ni maandalizi ya kutufanyia uponyaji wa uhusiano wetu na Mungu. Ilibidi Yesu apitie taabu hii ya nafsi, mwili na roho ili sisi tuwe na kimbilio. Kwa njia hiyo Mungu alikamilisha kusudi la mapenzi yake, ambayo ni kuwafanya “wengi kuwa wenye haki” (m.11).Mlolongo huu wa matukio huleta maumivu makali ya moyoni, lakini pia huleta furaha kubwa na shukrani kwa Mungu. Yesu ndiye kafara iliyotuokoa.

siku 18siku 20

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 4

Soma Biblia Kila Siku 4 inakupa mpango wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu, hasa kutoka Kitabu cha Kutoka, na 1 Wathesalonike, pamoja na maelezo juu ya somo hilo.

More

Tungependa kushukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz