Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Soma Biblia Kila Siku 05/2024Mfano

Soma Biblia Kila Siku 05/2024

SIKU 18 YA 31

Yoeli anamalizia ujumbe kwa habari ya siku ya BWANA ya hukumu. Kwa wateule wa Mungu siku hiyo itakuwa furaha kuu. Nabii ameilinganisha na ile hali ya bustani ya Edeni anapotaja juu ya divai tamu, kutiririka maziwa na kuwa na maji tele. Kwa upande wa pili, anaonyesha hali ya ukame anapotaja habari ya Misri na Edom. Maana yake ni hali ya mateso kwa wale ambao walijitenga mbali na Mungu. Hali hii inatukumbusha kwamba Bwana atakuja kwa saa ambayo sisi hatujui, hivyo inatubidi tujiandae.

siku 17siku 19

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 05/2024

Soma Biblia Kila Siku 05/2024 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa tano pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha Kutoka, Yoeli na Mathayo. Karibu kujiunga na mpango huu

More

Tungependa kuwashukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: https://www.somabiblia.or.tz/

Mipango inayo husiana