Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Soma Biblia Kila Siku 05/2024Mfano

Soma Biblia Kila Siku 05/2024

SIKU 10 YA 31

Yoeli alikuwa nabii katika ufalme wa Yuda. Maana ya jina hili niYHWH (BWANA) ni Mungu. Alitumwa kwa taifa la Mungu likiwa katika hali mbaya kiroho, kijamii na kiuchumi. Nabii anawaambia hali ile imekuwapo kwa sababu watu wamekwenda kinyume na mpango wa Mungu. Anawaonya wamrudie Mungu ili awasaidie. Upofu wa kiroho unaoletwa na dhambi umewafanya kuona mambo ambayo ni chukizo kwa Mungu kama kitu cha kawaida. Kwa hiyo furaha ya watu imetoweka na hata mazao yao yamekauka, hawana kitu cha kutumainia.

siku 9siku 11

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 05/2024

Soma Biblia Kila Siku 05/2024 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa tano pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha Kutoka, Yoeli na Mathayo. Karibu kujiunga na mpango huu

More

Tungependa kuwashukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: https://www.somabiblia.or.tz/

Mipango inayo husiana