Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Soma Biblia Kila Siku /Desemba 2023Mfano

Soma Biblia Kila Siku /Desemba 2023

SIKU 22 YA 32

Kanisa la Yerusalemu lilipata tena taabu. Mtume Yakobo aliuawa na mtume Petro alifungwa gerezani. Katika taabu yao walifanya nini?Kanisa likamwomba Mungukwa juhudikwa ajili yake(m.5),nawatu wengiwalikuwa wamekutana humo wakiomba(m.12). Walijibiwa kwa sababu ya imani kubwa? Hapana. Maana Roda alipowaambia kwamba Petro yupo mlangoni hawakumwamini (m.13-15)! Walijibiwa kwa maana waliombawengikwabidiikwajina la Yesu! Jifunze zaidi kwa kusoma Yn 14:13-14 na Lk 18:1-8.

siku 21siku 23

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku /Desemba 2023

Soma Biblia Kila Siku /Desemba 2023 ni mpango mzuri wa kusoma biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Desemba pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha Matendo ya Mitume. Karibu kujiunga na mpango huu

More

Tungependa kuwashukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: https://www.somabiblia.or.tz/