Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mafundisho ya Yesu: Maamuzi yenye Hekima na Baraka ZinazodumuMfano

Mafundisho ya Yesu: Maamuzi yenye Hekima na Baraka Zinazodumu

SIKU 5 YA 7

Kuhusu Kufunga

Yesu afunza kuhusi kufunga na kuwa moyo wetu utapatikana kwa vitu tunayo dhamani.

Swali 1: Elezea chenye unachoamini inahusikana na kufunga kibibilia.

Swali 2: Kuna umuhimu gani kwa Wakristo kufunga?

Swali 3: Unadhani ni hatari zipi za kujiwekea pesa na mali kwa hali ya ulafi?

Kuhusu Mpango huu

Mafundisho ya Yesu: Maamuzi yenye Hekima na Baraka Zinazodumu

Yesu alifunza kuhusu mada nyingi- baraka zinazodumu, uzinzi, maombi na mengi zaidi. Ina maana gani kwa watu wa leo? Video fupi yaeleza kila upande wa hadithi kwa kila siku ya mpango huu.

More

Tungependa kuwashukuru GNPI Kenya kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: https://www.gnpi.org/tgg