Mafunzo ya YesuMfano
![Mafunzo ya Yesu](/_next/image?url=https%3A%2F%2Fimageproxy.youversionapi.com%2Fhttps%3A%2F%2Fs3.amazonaws.com%2Fyvplans%2F35639%2F1280x720.jpg&w=3840&q=75)
Kuhusu Uzinzi na Talaka
Yesu anafunza kuhusu dhambi ya kuzini na masababishi ya talaka.
Swali 1: Tunwawezaje wasaidia wanao tenda uzinzi ama talaka na bado kutii neno la Mungu?
Swali 2: Uasherati na talaka vinamaanisha nini kwako?
Swali 3: Kutokana na maandiko, unafikiri Yesu angependa ufanye nini?
Andiko
Kuhusu Mpango huu
![Mafunzo ya Yesu](/_next/image?url=https%3A%2F%2Fimageproxy.youversionapi.com%2Fhttps%3A%2F%2Fs3.amazonaws.com%2Fyvplans%2F35639%2F1280x720.jpg&w=3840&q=75)
Yesu alifunza kuhusu mada nyingi- baraka zinazodumu, uzinzi, maombi na mengi zaidi. Ina maana gani kwa watu wa leo? Video fupi yaeleza kila upande wa hadithi kwa kila siku ya mpango huu.
More
Tungependa kuwashukuru GNPI Kenya kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: https://www.gnpi.org/tgg