Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mafundisho ya Yesu: Maamuzi yenye Hekima na Baraka ZinazodumuMfano

Mafundisho ya Yesu: Maamuzi yenye Hekima na Baraka Zinazodumu

SIKU 4 YA 7

Ombi la Bwana

Yesu atufunza jinsi tunapaswa kuomba.

Swali 1: Tunajuaje Mungu anasikia maombi ya watu?

Swali 2: Ni wapi na kwa jinsi gani ulijifunza kuomba?

Swali 3: Maombi yetu yanaweza kuwa tofauti kwa njia gani tukizingatia sana kuhusu maongezi

yetu na Mungu badala ya kuomba kile tunahitaji?

Andiko

Kuhusu Mpango huu

Mafundisho ya Yesu: Maamuzi yenye Hekima na Baraka Zinazodumu

Yesu alifunza kuhusu mada nyingi- baraka zinazodumu, uzinzi, maombi na mengi zaidi. Ina maana gani kwa watu wa leo? Video fupi yaeleza kila upande wa hadithi kwa kila siku ya mpango huu.

More

Tungependa kuwashukuru GNPI Kenya kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: https://www.gnpi.org/tgg