Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Soma Biblia Kila Siku/ FEBRUARI 2023Mfano

Soma Biblia Kila Siku/ FEBRUARI 2023

SIKU 18 YA 28

Kwa lengo la kuendelea kushika mamlaka, Yeroboamu aliamua kuanzisha ibada ya miungu. Ni rahisi kumlaumu Yeroboamu kwa kuwa kwazo kwa watu wake na kuwapotosha. Lakini tusisahau kujiuliza sisi wenyewe, ni mara ngapi tumekuwa kwazo kwa watu kuendelea kumpemda na kumwabudu Mungu katika Yesu Kristo? Mkristo, unapokuwa mwongo, au unaposhawishi kutoa au kupokea rushwa, au unapowazuia watoto wasiende kanisani, unakuwa sawa na Yeroboamu, maana unakuwa unazuia ibada za kweli mioyoni mwa wengine.

siku 17siku 19

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku/ FEBRUARI 2023

Soma Biblia Kila Siku/Februari 2023 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Februari pamoja na maelezo machache ya kukusaidia kuelewa zaidi neno ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi katika kitabu cha Warumi na 1 Wafalme. Karibu kujiunga na mpango huu bure

More

Tungependa kuwashukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: https://www.somabiblia.or.tz/