Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Maelezo ya mpango

Soma Biblia Kila Siku Julai 2021Mfano

Soma Biblia Kila Siku Julai 2021

SIKU 17 YA 31

Mungu ndiye Mungu wa faraja yote (2 Kor 1:3). Ndivyo tuonavyo katika somo la leo. Waisraeli wako uhamishoni huko Babeli, na baadhi ya mataifa jirani wamejigawia nchi walimokaa. Lakini nchi hiyo ni mali yake Mungu, wala hatavumilia dharau za maadui hao. Kupitia unabii juu ya milima ya Israeli, Nabii anawahakikishia Waisraeli wamtegemee Mungu. Atageuza kabisa hali hiyo mbaya, na itakuwa njema. Msiogope, enyi kundi dogo; kwa kuwa Baba yenu ameona vema kuwapa ule ufalme (Lk 12:32).

siku 16siku 18

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku Julai 2021

Soma Biblia Kila Siku Julai 2021 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha Marko na Ezekieli. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Karibu k...

More

Tungependa kuishukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha