Soma Biblia Kila Siku 02/20Mfano

Mungu amemwumba mwanadamu, kwa hiyo anamjua kabisa kimwili na hata kiroho. Hata kabla mtu hajazaliwa, Mungu anajua yatakavyokuwa mambo yote ya maisha yake. Kwa hiyo hata mtoto tumboni mwa mama yake ni mtu aliyeumbwa na Mungu. Ni uhai uliotakaswa na Mungu. Kwa hiyo zaburi hii inatuonyesha enzi ya Mungu, na inamkumbusha pia Mkristo kwamba si mkamilifu. Kwa hiyo tunasisitizwa tumwombe Mungu atuonyeshe dhambi zetu, ili atutakase na kutuongoza katika maisha ya utakatifu.
Andiko
Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 02/20 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha Mathayo na Esta. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Karibu kujiunga na mpango huu.
More
Tunapenda kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz
Mipangilio yanayo husiana

Soma Biblia Kila Siku 12/2020

MWANGA Kuvutiwa Maishani Na Mwanga Ajabu Wa Mungu

Soma Biblia Kila Siku 10/2020

Soma Biblia Kila Siku 07/2020

Kuwa Karibu Na Mungu Kila Siku

Soma Biblia Kila Siku Aprili 2021

Moyo - Neno La Mungu Hugeuza Moyo

Soma Biblia Kila Siku Januari 2021

Upendo Wa Bure
