Soma Biblia Kila Siku 02/20Mfano

Mungu hujibu maombi. Hufahamu haja zetu hata kabla hatujaomba. Ndiyo maana hutujalia kuyapata hata yale ambayo hatujayaomba. Mungu hutujalia kupata yaliyo mema kutoka kwake wala hawezi kupuuzia tuliyoyaomba kwa jina lake. Sisi wanadamu tulio waovu tunawapa watoto wetu zawadi nzuri. Hakuna mzazi anayeweza kumpa nyoka badala ya samaki au jiwe badala ya mkate mwanawe. Ni hakika kabisa, Mungu aliye Mtakatifu na mwenye wema wote hutujalia kupokea mema zaidi ya yale tunayoomba.
Andiko
Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 02/20 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha Mathayo na Esta. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Karibu kujiunga na mpango huu.
More
Tunapenda kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz
Mipangilio yanayo husiana

Soma Biblia Kila Siku 12/2020

MWANGA Kuvutiwa Maishani Na Mwanga Ajabu Wa Mungu

Soma Biblia Kila Siku 10/2020

Soma Biblia Kila Siku 07/2020

Kuwa Karibu Na Mungu Kila Siku

Soma Biblia Kila Siku Aprili 2021

Moyo - Neno La Mungu Hugeuza Moyo

Soma Biblia Kila Siku Januari 2021

Upendo Wa Bure
