Soma Biblia Kila Siku 02/20Mfano

Kitabu cha Esta kinaonyesha jinsi Mungu anavyotumia matukio ya kawaida kutimiza makusudi yake ya kuokoa watu wake. Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu, lakini mwisho wake ni njia za mauti (Mit 14:12). Bila shaka Vashti alikuwa na sababu yake nzuri alipokataa, lakini uamuzi wake ulimgharimu umalkia na kufungua mlango kwa malkia mwingine kuchaguliwa (m.19: Mfalme akiona vema, na itoke kwake amri ya kifalme, nayo iandikwe katika sheria za Waajemi na Wamedi isitanguke, ya kwamba Vashti asifike tena mbele ya mfalme Ahasuero; na umalkia wake mfalme ampe mwingine aliye mwema kuliko yeye). Inatupasa tuwe makini tunapofanya maamuzi, hasa katika mazingira yasiyomtukuza Mungu, ili kuepuka matokeo yasiyotarajiwa.
Andiko
Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 02/20 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha Mathayo na Esta. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Karibu kujiunga na mpango huu.
More
Tunapenda kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz
Mipangilio yanayo husiana

Soma Biblia Kila Siku 12/2020

MWANGA Kuvutiwa Maishani Na Mwanga Ajabu Wa Mungu

Soma Biblia Kila Siku 10/2020

Soma Biblia Kila Siku 07/2020

Kuwa Karibu Na Mungu Kila Siku

Soma Biblia Kila Siku Aprili 2021

Moyo - Neno La Mungu Hugeuza Moyo

Soma Biblia Kila Siku Januari 2021

Upendo Wa Bure
