Soma Biblia Kila Siku 02/20Mfano

Mungu amejibu maombi, na Esta anapewa kibali cha mfalme. Mkakati wa Esta ni kuwaokoa Wayahudi, hivyo hababaiki akiruhusiwa kuomba hata nusu ya ufalme. Esta ni mdiplomasia kweli. Hajajidhihirisha, na Hamani hashtuki bali kuona fahari tu. Ila Mordekai anaendelea kuwa kero kubwa kwa Hamani ambaye anaamua kumtundika ili kuondoa udhia. Hivyo mateso ya mwenye haki ni mengi, lakini Bwana humponya nayo yote (Zab 34:19), maana njia zake ni juu sana kuliko njia ya mtu. Mpe Mungu kuamua kuhusu mikakati yako.
Andiko
Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 02/20 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha Mathayo na Esta. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Karibu kujiunga na mpango huu.
More
Tunapenda kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz
Mipangilio yanayo husiana

Soma Biblia Kila Siku 12/2020

MWANGA Kuvutiwa Maishani Na Mwanga Ajabu Wa Mungu

Soma Biblia Kila Siku 10/2020

Soma Biblia Kila Siku 07/2020

Kuwa Karibu Na Mungu Kila Siku

Soma Biblia Kila Siku Aprili 2021

Moyo - Neno La Mungu Hugeuza Moyo

Soma Biblia Kila Siku Januari 2021

Upendo Wa Bure
