Soma Biblia Kila Siku 02/20Mfano

Hofu inaondoa ujasiri. Adui wa Wayahudi wamefunikwa na hofu ya Mordekai na kuwafanya waangamizwe na kutawaliwa na Wayahudi tarehe ileile waliyokusudia kuwaangamiza Wayahudi. Angalia jinsi kibali cha mfalme kwa Wayahudi kujitetea maisha yao na kujilipizia kisasi kilivyogeuza matukio tarehe hiyo. Ni mfano wa maana ya Rum 8:31: Mungu akiwapo upande wetu, ni nani aliye juu yetu? Esta anafuatilia utekelezaji wa maombi yake. Sisi pia tunaruhusiwa kufanya hivyo tukiona kibali cha Mungu kwa maombi yetu.
Andiko
Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 02/20 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha Mathayo na Esta. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Karibu kujiunga na mpango huu.
More
Tunapenda kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz
Mipangilio yanayo husiana

Soma Biblia Kila Siku 12/2020

MWANGA Kuvutiwa Maishani Na Mwanga Ajabu Wa Mungu

Soma Biblia Kila Siku 10/2020

Soma Biblia Kila Siku 07/2020

Kuwa Karibu Na Mungu Kila Siku

Soma Biblia Kila Siku Aprili 2021

Moyo - Neno La Mungu Hugeuza Moyo

Soma Biblia Kila Siku Januari 2021

Upendo Wa Bure
