Soma Biblia Kila Siku 02/20Mfano

Esta alipewa nyumba ya Hamani, na Mordekai alichukua cheo cha Hamani. Lakini shida moja kubwa sana ilibaki: Andiko lililoandikwa kwa jina la mfalme ... hakuna awezaye kulitangua – hata mfalme mwenyewe (m.8). Tena Esta anapata kibali cha mfalme akimwomba. Wayahudi wanapewa haki ya kusimamia maisha yao na kujilipiza kisasi juu ya adui zao siku ileile waliyokusudiwa kuangamizwa. Mungu anapotusamehe dhambi zetu, siyo lazima atuondolee pia madhara yake. Lakini anaweza kutubariki kwa namna nyingine.
Andiko
Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 02/20 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha Mathayo na Esta. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Karibu kujiunga na mpango huu.
More
Tunapenda kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz
Mipangilio yanayo husiana

Soma Biblia Kila Siku 12/2020

MWANGA Kuvutiwa Maishani Na Mwanga Ajabu Wa Mungu

Soma Biblia Kila Siku 10/2020

Soma Biblia Kila Siku 07/2020

Kuwa Karibu Na Mungu Kila Siku

Soma Biblia Kila Siku Aprili 2021

Moyo - Neno La Mungu Hugeuza Moyo

Soma Biblia Kila Siku Januari 2021

Upendo Wa Bure
