Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Maelezo ya mpango

Soma Biblia Kila Siku 4Mfano

Soma Biblia Kila Siku 4

SIKU 14 YA 30

Sikukuu ya Mitende hukumbukwa zaidi kwa jinsi Yesu alivyotandikiwa nguo na matawi ya miti, alipoingia Yerusalemu akiwa amepanda mwana-punda. Watu walitaharaki, wakimpa heshima na kumshangilia. Hivyo walithibitisha kuwa ndiye mbarikiwa, yeye ajaye kwa jina la Bwana(m.9).Lakini walimpokea kweli? Jambo kubwa la kujifunza hapa ni unyenyekevu anaoingia nao Yesu mjini Yerusalemu. Tumpokee na amani anayoileta. Hivyo tutajifunza unyenyekevu na kutopenda makuu, hasa pale tunapojua tunastahili.

Andiko

siku 13siku 15

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 4

Soma Biblia Kila Siku 4 inakupa mpango wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu, hasa kutoka Kitabu cha Kutoka, na 1 Wathesalonike, pamoja na maelezo juu ya somo hilo.

Tungependa kushukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha