Methali 18:20-21
Methali 18:20-21 BHN
Maneno ya mtu yaweza kumshibisha; hutosheka kwa matokeo ya maneno yake. Ulimi una nguvu ya kufanya hai na kuua; wanaopenda kuutumia watakula matunda yake.
Maneno ya mtu yaweza kumshibisha; hutosheka kwa matokeo ya maneno yake. Ulimi una nguvu ya kufanya hai na kuua; wanaopenda kuutumia watakula matunda yake.