Mithali 18:20-21
Mithali 18:20-21 NEN
Tumbo la mtu litajaa kutokana na tunda la kinywa chake, atashibishwa mavuno yanayotokana na midomo yake. Mauti na uzima viko katika uwezo wa ulimi, nao waupendao watakula matunda yake.
Tumbo la mtu litajaa kutokana na tunda la kinywa chake, atashibishwa mavuno yanayotokana na midomo yake. Mauti na uzima viko katika uwezo wa ulimi, nao waupendao watakula matunda yake.