Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mithali 18:20-21

Mithali 18:20-21 SRUV

Tumbo la mtu litajazwa matunda ya kinywa chake; Atashiba mazao ya midomo yake. Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi; Na wao waupendao watakula matunda yake.

Soma Mithali 18