YouVersion Logo
Search Icon

Plan Info

Soma Biblia Kila Siku Julai 2021Sample

Soma Biblia Kila Siku Julai 2021

DAY 12 OF 31

Walioishi uhamishoni huko Babeli wanaonyesha dalili ya masikitiko kuhusu dhambi zao zilizopita. Baadhi yao wanataka kukata tamaa na kumlaumu Mungu kuwa hawatendei haki. Nabii anawakumbusha kwamba Mungu hapendelei kuadhibu tu, bali anataka watu wangetubu dhambi zao. Mungu yupo tayari kusamehe. Nabii anakaza zaidi kwamba kila mtu binafsi ana wajibu wa kutubu na kufanya yaliyo sawa. Maana kutambua makosa bila kuchukua hatua ya kuwajibikia na kutubu, hakumfanyi mtu kuwa mwenye haki.

Day 11Day 13

About this Plan

Soma Biblia Kila Siku Julai 2021

Soma Biblia Kila Siku Julai 2021 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha Marko na Ezekieli. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Karibu k...

More

YouVersion uses cookies to personalize your experience. By using our website, you accept our use of cookies as described in our Privacy Policy