YouVersion Logo
Search Icon

Plan Info

Soma Biblia Kila Siku Julai 2021Sample

Soma Biblia Kila Siku Julai 2021

DAY 15 OF 31

Uongozi wake Mungu ni tofauti sana na ule wa wachungaji waovu: Mimi mwenyewe nitaamua kati ya kondoo wanono na kondoo wadhaifu (m.20 BHN). “Wanono” ni hao viongozi ambao kwa uchoyo na ubinafsi waliharibu malisho na maji ya kunywa. Wataachishwa kazi yao. Mungu atawaokoa “wadhaifu” vinywani mwa hao, akimweka “Daudi”, yaani, Masihi ili atawale watu wake. Masihi wa Bwana ni Mchungaji mwema. Baraka za uongozi wake ni pamoja na kuvunjika kwa nira ya utumwa na kuishi kwa usalama.

Day 14Day 16

About this Plan

Soma Biblia Kila Siku Julai 2021

Soma Biblia Kila Siku Julai 2021 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha Marko na Ezekieli. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Karibu k...

More

YouVersion uses cookies to personalize your experience. By using our website, you accept our use of cookies as described in our Privacy Policy