YouVersion Logo
Search Icon

Soma Biblia Kila Siku 6Sample

Soma Biblia Kila Siku 6

DAY 13 OF 30

Naamini kwamba baada ya kusoma maneno haya umepata jibu la swali la jana! Jambo lililoonekana kama ushindi wa Shetani, kumbe! Lilikuwa ni mpango wa Mungu wa ajabu. Na sisi tujifunze kutokana na tukio hili. Tujifunze kufanya kama neno la Waefeso 5:20 linavyosema: Mshukuruni Mungu Baba sikuzote kwa mambo yote, katika jina lake Bwana wetu Yesu Kristo.Ndivyo walivyofanya Paulo na Sila siku ile. Matokeo yake ni kwamba mtu mmoja na nyumba yake yote waliokoka! Tukimtegemea yeye atayageuza mabaya kuwa mema. Twajua ya kuwa katika mambo yote Mungu hufanya kazi pamoja na wale wampendao katika kuwapatia mema, yaani, wale walioitwa kwa kusudi lake.(Rum 8:28).

Scripture

Day 12Day 14

About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 6

Soma Biblia Kila Siku 6 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu kila siku pamoja na maelezo yatakayokusaidia kutafakari na kuelewa Neno la Mungu kwa urahisi.

More