Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Soma Biblia Kila Siku 03/2025Mfano

Soma Biblia Kila Siku 03/2025

SIKU 7 YA 31

Ametenda mambo yote vema(m.37). Ili kuelewa vizuri zaidi habari hizi za uponyaji tujue yafuatayo: ”Watotoni mfano wa Wayahudi (m.27:Waache watoto washibe kwanza). Wana haki ya kwanza kusikia Injili, kama Yesu anavyoeleza katika Mt 15:24:Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli. Neno ”mbwa” lingetakiwa kutafsiriwa "mbwa wadogo". Si mbwa wale wanaozungukazunguka, bali wako nyumbani kwa mtu. Hao ni mfano wa watu wasio Wayahudi. Yesu”akaugua”, yaani anaona uchungu kwa ajili ya yule kiziwi.Kwanza anamfanyiavitendoili aelewe Yesu anataka kumfanyia nini. Ndipo Yesu anamponya kwaneno.

siku 6siku 8

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 03/2025

Soma Biblia Kila Siku 03/2025 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi Machi pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha Marko, 1 Nyakati na Isaya. Karibu kujiunga na mpango huu

More

Tungependa kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: www.somabiblia.or.tz