Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Soma Biblia Kila Siku 11/2024Mfano

Soma Biblia Kila Siku 11/2024

SIKU 24 YA 30

Mfalme Hezekia aliposikia jinsi mfalme wa Ashuru alivyomtukana Mungu aliingiwa na jazba nzuri. Alijinyenyekesha, akararua nguo zake na kuvaa magunia, akaingia nyumbani mwa BWANA na kuomba ushauri kutoka kwa nabii Isaya (m.2). Nabii alituma ujumbe wa kumwondoa wasiwasi Mfalme Hezekia kwamba asiogope, kwani matusi wanayopata watumishi wa Mungu ni matusi kwa Mungu mwenyewe. Kwa hiyo, siyo vizuri kujibishana. Badala yake, ni vizuri kukumbuka kwamba Mungu anasikia, na anangojea tu tumhusishe.

siku 23siku 25

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 11/2024

Soma Biblia Kila Siku 11/2024 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Kumi na moja pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha Mathayo na 2 Wafalme. Karibu kujiunga na mpango huu

More

Tungependa kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: https://www.somabiblia.or.tz