Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Soma Biblia Kila Siku 09/2024Mfano

Soma Biblia Kila Siku 09/2024

SIKU 15 YA 30

Je, wewe unayemwamini Bwana Yesu umepata kufikiria ukuu, uweza na mamlaka ya Bwana wako? Fikiri tena sasa, Yeye aliye mshindi wa mauti anapokuagiza katika somo la leo kwenda kuwatangazia walimwengu habari zake, na kisha kuwabatiza na kuwaimarisha kwa mafundisho. Hakuna sababu ya kuogopa chochote, maana Yesu mwenyewe ameahidi kuwa pamoja nasi kwa njia ya RohoMtakatifu aliyewapa waumini wote. Anao uwezo mkuu kuwatia uwezo na nguvu wote wenye utayari wa utumishi huu. Hima, amka, na tukatende sasa!

siku 14siku 16

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 09/2024

Soma Biblia Kila Siku 09/2024 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Tisa pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha Mathayo na 2 Wafalme. Karibu kujiunga na mpango huu

More

Tungependa kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: https://www.somabiblia.or.tz

Mipangilio yanayo husiana