Soma Biblia Kila Siku 1Mfano

Hekalu lilikuwa ni nyumba ya Mungu. Lilijengwa kwa matumizi ya sala, lakini Wayahudi waliligeuza kuwa mahali pa kufanyia biashara na dhuluma. Pamoja na kutakasa jengo lile, Yesu anawaonyesha Wayahudi kuwa hekalu la kweli ni mwili wake mwenyewe, na kutabiri kuhusu atakavyofufuka. Siku hizi Wakristo ni mwili wa Kristo. Hivyo miili yetu ni hekalu (1 Kor 3:16 na 6:19). Tukumbuke kuwa bado Yesu anataka hekalu la Mungu libaki kuwa mahali patakatifu na kazi yake iwe ileile ya kuwa nyumba ya sala!
Andiko
Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 1 inakupa mpango wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu, hasa kutoka Injili ya Yohana, pamoja na maelezo juu ya somo hilo.
More
Tungependa kushukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz
Mipangilio yanayo husiana

Soma Biblia Kila Siku 06/2020

Soma Biblia Kila Siku 8

Upendo Wa Bure

Roho Mtakatifu - Tuna Uwezo Wa Kuwaka Moto Au La?

Injili Ulimwenguni - Sehemu 1

Soma Biblia Kila Siku 4

Uamuzi Mkubwa Zaidi wa Maisha Yako!

MWANGA Kuvutiwa Maishani Na Mwanga Ajabu Wa Mungu

Soma Biblia Kila Siku Julai 2021
