Soma Biblia Kila Siku 1Mfano

Ni jinsi gani pendo la Mungu lilivyo kuu na la ajabu! Kwa kumtoa Mwana wake wa pekee, Yesu Kristo, Mungu anawatangazia watu wa ulimwengu kutenguliwa kwa hukumu ya kuangamia milele iliyowakabili. Sasa hawahukumiwi tena wakimwamini Yesu Kristo. Mahali pa mauti ya milele kwao, Mungu ameweka uzima wa milele (m.18). Chagua leo kuishi nuruni. Ahadi ya Mungu kwako ni kwamba unao uzima wa milele kwa kumwamini Yesu Kristo, Mwana pekee wa Mungu. Je, hali ikoje kwa wasiomwamini Yesu? Tafakari m.18.
Andiko
Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 1 inakupa mpango wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu, hasa kutoka Injili ya Yohana, pamoja na maelezo juu ya somo hilo.
More
Tungependa kushukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz
Mipangilio yanayo husiana

Soma Biblia Kila Siku 06/2020

Soma Biblia Kila Siku 8

Upendo Wa Bure

Roho Mtakatifu - Tuna Uwezo Wa Kuwaka Moto Au La?

Injili Ulimwenguni - Sehemu 1

Soma Biblia Kila Siku 4

Uamuzi Mkubwa Zaidi wa Maisha Yako!

MWANGA Kuvutiwa Maishani Na Mwanga Ajabu Wa Mungu

Soma Biblia Kila Siku Julai 2021
