Soma Biblia Kila Siku 1Mfano

Mwanzoni yule mwanamke Msamaria alifikiri Yesu yu Myahudi wa kawaida tu (m.9 na 12). Hatua ya pili alifikiri Yesu yu nabii anayeweza kumwongoza katika mambo kawaida ya kidini (m.19-20). Hatimaye alimtambua Yesu kuwa ndiye Masihi. Hapo yule mwanamke Msamaria akasahau kabisa kiu yake ya kimwili, maana alikuwa amepata maji ya uzima kutoka kwa Yesu na kutaka tu kumshuhudia yeye (m.28-29). Nawe unaweza kumshuhudia Yesu vivyo hivyo kuwa ndiye mwokozi wako aliyekusaidia na kiu yako ya kiroho?
Andiko
Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 1 inakupa mpango wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu, hasa kutoka Injili ya Yohana, pamoja na maelezo juu ya somo hilo.
More
Tungependa kushukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz
Mipangilio yanayo husiana

Soma Biblia Kila Siku 06/2020

Soma Biblia Kila Siku 8

Upendo Wa Bure

Roho Mtakatifu - Tuna Uwezo Wa Kuwaka Moto Au La?

Injili Ulimwenguni - Sehemu 1

Soma Biblia Kila Siku 4

Uamuzi Mkubwa Zaidi wa Maisha Yako!

MWANGA Kuvutiwa Maishani Na Mwanga Ajabu Wa Mungu

Soma Biblia Kila Siku Julai 2021
